13. Tazameni, nitawalemea ninyi,Kama gari lilemeavyo lililojaa miganda.
14. Naye apigaye mbio atapotewa na kimbilio;Wala aliye hodari hataongeza nguvu zake;Wala shujaa hatajiokoa nafsi yake;
15. Wala apindaye upinde hatasimama;Wala aliye mwepesi wa miguu hataokoka;Wala apandaye farasi hatajiokoa nafsi yake;