2 Yoh. 1:7 Swahili Union Version (SUV)

Kwa maana wadanganyifu wengi wametokea duniani, wasiokiri ya kuwa Yesu Kristo yuaja katika mwili. Huyo ndiye yule mdanganyifu na mpinga Kristo.

2 Yoh. 1

2 Yoh. 1:6-13