2 Yoh. 1:6 Swahili Union Version (SUV)

Na huu ndio upendo: tuenende kwa kuzifuata amri zake. Hii ndiyo ile amri, kama mlivyosikia tangu mwanzo kwamba mwenende katika hiyo.

2 Yoh. 1

2 Yoh. 1:1-13