2 Sam. 4:1 Swahili Union Version (SUV)

Hata Ishboshethi mwana wa Sauli aliposikia ya kuwa Abneri amekufa huko Hebroni, mikono yake ilikuwa dhaifu, na Waisraeli wote wakataabika.

2 Sam. 4

2 Sam. 4:1-3