2 Sam. 3:39 Swahili Union Version (SUV)

Nami leo nimedhoofika, hata nijapotiwa mafuta niwe mfalme; na watu hao, wana wa Seruya, ni wagumu kwangu mimi; BWANA amlipie mwovu sawasawa na uovu wake.

2 Sam. 3

2 Sam. 3:29-39