2 Sam. 3:35 Swahili Union Version (SUV)

Wakaja na watu wote wamshurutishe Daudi kula chakula, ukalipo bado mchana; lakini Daudi akaapa, akasema Mungu anitendee vivyo, na kuzidi, nikionja mkate, au kingine cho chote kabla lichwapo jua.

2 Sam. 3

2 Sam. 3:33-39