2 Sam. 3:28 Swahili Union Version (SUV)

Hata baadaye Daudi aliposikia, akasema, Mimi na ufalme wangu hatuna hatia milele mbele za BWANA, kwa sababu ya damu ya Abneri, mwana wa Neri;

2 Sam. 3

2 Sam. 3:22-38