2 Sam. 3:27 Swahili Union Version (SUV)

Basi Abneri alipokuwa amerudi Hebroni, Yoabu akamchukua kando hata katikati ya lango, ili aseme naye kwa faragha; akampiga mkuki wa tumbo huko, hata akafa; kwa ajili ya damu ya Asaheli, ndugu yake.

2 Sam. 3

2 Sam. 3:21-30