2 Sam. 3:1 Swahili Union Version (SUV)

Basi kulikuwa na vita siku nyingi kati ya nyumba ya Sauli na nyumba ya Daudi; Daudi akaendelea akasitawi, lakini nyumba ya Sauli ikaendelea kudhoofika.

2 Sam. 3

2 Sam. 3:1-5