2 Sam. 2:32 Swahili Union Version (SUV)

Nao wakamwinua Asaheli, wakamzika katika kaburi la baba yake, lililokuwako Bethlehemu. Yoabu na watu wake wakaenda usiku kucha, wakapambazukiwa huko Hebroni.

2 Sam. 2

2 Sam. 2:30-32