2 Sam. 23:5 Swahili Union Version (SUV)

Je! Sivyo ilivyo nyumba yangu mbele za BWANA?Kwa kuwa amefanya nami agano la milele;Ina taratibu katika yote, ni thabiti,Maana ni wokovu wangu wote, na shauku langu lote.

2 Sam. 23

2 Sam. 23:1-7