2 Sam. 23:21 Swahili Union Version (SUV)

huyo naye akamwua Mmisri, mtu mrefu; naye huyo Mmisri alikuwa na mkuki mkononi; lakini yeye alimshukia na gongo, akamnyakulia Mmisri mkuki mkononi mwake, akamwua kwa mkuki wake mwenyewe.

2 Sam. 23

2 Sam. 23:13-26