2 Sam. 23:20 Swahili Union Version (SUV)

Tena Benaya, mwana wa Yehoyada, mtu hodari wa Kabseeli aliyekuwa amefanya mambo makuu; aliwaua simba wakali wawili wa Moabu, pia akashuka akamwua simba katikati ya shimo wakati wa theluji;

2 Sam. 23

2 Sam. 23:12-22