2 Sam. 23:11 Swahili Union Version (SUV)

Na baada yake kulikuwa na Shama, mwana wa Agee, Mharari; nao Wafilisti walikuwa wamekusanyika huko Lehi, palipokuwapo konde lililojaa midengu; nao watu wakawakimbia Wafilisti;

2 Sam. 23

2 Sam. 23:8-17