2 Sam. 23:10 Swahili Union Version (SUV)

huyo aliinuka, akawapiga Wafilisti hata mkono wake ukachoka, na mkono wake ukaambatana na upanga; naye BWANA akafanya wokovu mkuu siku ile; nao watu wakarudi nyuma yake ili kuteka nyara tu.

2 Sam. 23

2 Sam. 23:9-16