2 Sam. 21:20 Swahili Union Version (SUV)

Kulikuwa na vita tena huko Gathi; ambako kulikuwa na mtu mrefu sana, mwenye vidole sita katika kila mkono, na vidole sita katika kila mguu, jumla yake ishirini na vinne; yeye naye alizaliwa kwa Mrefai.

2 Sam. 21

2 Sam. 21:15-22