2 Sam. 21:19 Swahili Union Version (SUV)

Kulikuwa na vita tena na Wafilisti huko Gobu; na Elhanani, mwana wa Yairi, Mbethlehemi, alimwua Goliathi, Mgiti, ambaye mti wa mkuki wake ulikuwa kama mti wa mfumaji.

2 Sam. 21

2 Sam. 21:9-22