2 Sam. 20:7 Swahili Union Version (SUV)

Ndipo wakatoka nyuma yake watu wa Yoabu, na Wakerethi na Wapelethi, na mashujaa wote; wakatoka Yerusalemu, ili kumfuatia Sheba, mwana wa Bikri.

2 Sam. 20

2 Sam. 20:1-12