2 Sam. 20:6 Swahili Union Version (SUV)

Basi Daudi akamwambia Abishai, Sasa Sheba, mwana wa Bikri, atatudhuru, kuliko Absalomu; twaa wewe watumishi wa bwana wako, ukamfuatie, asiingie katika miji yenye boma, na kujiponya machoni petu.

2 Sam. 20

2 Sam. 20:1-14