2 Sam. 2:5 Swahili Union Version (SUV)

Basi Daudi akatuma wajumbe kwa watu wa Yabesh-gileadi, na kuwaambia, Na mbarikiwe ninyi na BWANA, kwa kuwa mmemtendea bwana wenu fadhili hii, yaani Sauli, mkamzika.

2 Sam. 2

2 Sam. 2:4-8