2 Sam. 2:4 Swahili Union Version (SUV)

Basi watu wa Yuda wakaenda, wakamtia Daudi mafuta huko, awe mfalme juu ya nyumba ya Yuda.Wakamwambia Daudi wakasema, Watu wa Yabesh-gileadi ndio waliomzika Sauli.

2 Sam. 2

2 Sam. 2:3-6