2 Sam. 2:22 Swahili Union Version (SUV)

Abneri akamwambia Asaheli mara ya pili, Geuka, acha kunifuatia mimi; kwa nini nikupige hata chini? Hapo ningewezaje kuinua uso wangu mbele ya Yoabu, ndugu yako?

2 Sam. 2

2 Sam. 2:16-26