2 Sam. 2:21 Swahili Union Version (SUV)

Basi Abneri akamwambia, Geuka mkono wa kuume au mkono wa kushoto, ukamshike mmoja wa vijana, ukazitwae silaha zake. Lakini Asaheli hakukubali kugeuka na kuacha kumfuata.

2 Sam. 2

2 Sam. 2:20-30