2 Sam. 2:13 Swahili Union Version (SUV)

Huyo Yoabu naye, mwana wa Seruya, na watumishi wa Daudi, wakatoka, wakakutana nao karibu na ziwa la Gibeoni; wakaketi, hawa upande huu wa ziwa, na hawa upande huu wa ziwa.

2 Sam. 2

2 Sam. 2:3-18