2 Sam. 19:18 Swahili Union Version (SUV)

Tena ikavuka mashua ili kuwavusha jamaa ya mfalme, na kufanya aliyoyaona kuwa mema.Ndipo Shimei, mwana wa Gera, akamwangukia mfalme alipokuwa amevuka Yordani.

2 Sam. 19

2 Sam. 19:8-26