2 Sam. 19:17 Swahili Union Version (SUV)

Na Watu elfu wa Benyamini walikuwa pamoja naye, na huyo Siba mtumwa, nyumba ya Sauli, na hao wanawe kumi na watano, na watumwa wake ishirini pamoja naye; wakavuka Yordani mbele ya mfalme.

2 Sam. 19

2 Sam. 19:8-27