2 Sam. 18:24 Swahili Union Version (SUV)

Basi Daudi alikuwa ameketi kati ya malango mawili; mlinzi akapanda juu hata dari ya lile lango hata ukutani, akainua macho yake, akaangalia, na tazama, mtu anakuja mbio peke yake.

2 Sam. 18

2 Sam. 18:14-33