2 Sam. 18:23 Swahili Union Version (SUV)

Akasema, Haidhuru, nitapiga mbio. Akamwambia, Haya, piga mbio. Ndipo Ahimaasi akapiga mbio, akishika njia ya uwandani, akampita yule Mkushi.

2 Sam. 18

2 Sam. 18:20-27