2 Sam. 18:20 Swahili Union Version (SUV)

Yoabu akamwambia, Wewe hutakuwa mchukua habari leo, siku nyingine utachukua habari; lakini leo hutachukua habari, kwa sababu mwana wa mfalme amekufa.

2 Sam. 18

2 Sam. 18:13-28