2 Sam. 18:19 Swahili Union Version (SUV)

Basi Ahimaasi, mwana wa Sadoki, akasema, Niende mbio sasa, nikampelekee mfalme habari, jinsi BWANA alivyomlipiza kisasi juu ya adui zake.

2 Sam. 18

2 Sam. 18:9-25