2 Sam. 17:12 Swahili Union Version (SUV)

Hivyo tutamfikia mahali po pote atakapoonekana, na kumwangukia kama vile umande uangukavyo juu ya nchi; wala hatutaacha hata mmoja wao, yeye na watu wote walio pamoja naye.

2 Sam. 17

2 Sam. 17:8-14