2 Sam. 17:11 Swahili Union Version (SUV)

Kwa hiyo shauri langu ni hili, Waisraeli wote toka Dani mpaka Beer-sheba wakusanyike kwako, kama mchanga wa bahari kwa wingi; na wewe uende vitani mwenyewe.

2 Sam. 17

2 Sam. 17:4-18