2 Sam. 15:32 Swahili Union Version (SUV)

Ikawa, Daudi alipofika juu, hapo Mungu alipoabudiwa, tazama, Hushai, Mwarki, akaja kumlaki na joho lake limeraruliwa, tena ana udongo kichwani mwake.

2 Sam. 15

2 Sam. 15:25-35