2 Sam. 15:31 Swahili Union Version (SUV)

Mtu mmoja akamwambia Daudi ya kwamba, Ahithofeli yu katika hao waliopatana na Absalomu; Daudi akasema, Ee BWANA, nakusihi, uligeuze shauri la Ahithofeli liwe ubatili.

2 Sam. 15

2 Sam. 15:26-37