2 Sam. 13:2 Swahili Union Version (SUV)

Akasononeka Amnoni, hata akaugua, kwa ajili ya umbu lake Tamari, maana huyu msichana alikuwa mwanamwali, Amnoni akaona ni vigumu kumtendea neno lo lote.

2 Sam. 13

2 Sam. 13:1-5