2 Sam. 12:1 Swahili Union Version (SUV)

Ndipo BWANA akamtuma Nathani aende kwa Daudi. Naye akamwendea, akamwambia, Palikuwa na watu wawili katika mji mmoja; mmoja wao alikuwa tajiri, wa pili maskini.

2 Sam. 12

2 Sam. 12:1-4