2 Sam. 11:27 Swahili Union Version (SUV)

Hata maombolezo hayo yalipokwisha, Daudi akatuma mtu, akamtwaa, akamtia nyumbani mwake; naye akawa mkewe, akamzalia mwana.Lakini jambo lile alilolitenda Daudi likamchukiza BWANA.

2 Sam. 11

2 Sam. 11:25-27