2 Sam. 10:5 Swahili Union Version (SUV)

Watu walipomwambia Daudi habari hizo, akatuma watu kuwalaki; kwa sababu watu hao walikuwa wametahayarika sana. Mfalme akasema, Ngojeni Yeriko, hata mtakapoota ndevu zenu, ndipo mrudi.

2 Sam. 10

2 Sam. 10:1-14