2 Sam. 10:4 Swahili Union Version (SUV)

Basi Hanuni akawatwaa hao watumishi wa Daudi, akawanyoa nusu ya ndevu zao, akawakatia nguo zao katikati, hata matakoni, akawatoa waende zao.

2 Sam. 10

2 Sam. 10:1-6