2 Sam. 10:11 Swahili Union Version (SUV)

Akasema, Wakiwa Washami hodari mno kwangu, ndipo wewe utanisaidia, lakini wana wa Amoni wakiwa ni hodari mno kwako, ndipo mimi nitakuja nikusaidie wewe.

2 Sam. 10

2 Sam. 10:6-13