25. Jinsi mashujaa walivyoangukaKatikati ya vita!Ee Yonathani, wewe umeuawaJuu ya mahali pako palipoinuka
26. Nimesikitika kwa ajili yako, Yonathani, ndugu yangu,Ulikuwa ukinipendeza sana;Upendo wako kwangu ulikuwa wa ajabu,Kupita upendo wa wanawake.
27. Jinsi mashujaa walivyoanguka,Na silaha za vita zilivyoangamia!