2 Sam. 1:25-27 Swahili Union Version (SUV)

25. Jinsi mashujaa walivyoangukaKatikati ya vita!Ee Yonathani, wewe umeuawaJuu ya mahali pako palipoinuka

26. Nimesikitika kwa ajili yako, Yonathani, ndugu yangu,Ulikuwa ukinipendeza sana;Upendo wako kwangu ulikuwa wa ajabu,Kupita upendo wa wanawake.

27. Jinsi mashujaa walivyoanguka,Na silaha za vita zilivyoangamia!

2 Sam. 1