2 Nya. 6:28 Swahili Union Version (SUV)

Ikiwa nchi imeingia njaa, au tauni, au ukosefu wa mvua, au ukungu, au nzige, au panzi; ikiwa adui wamewahusuru katika nchi ya miji yao, au ukiwapo msiba wo wote, au uele wo wote;

2 Nya. 6

2 Nya. 6:26-35