2 Nya. 35:25 Swahili Union Version (SUV)

Naye Yeremia akamlilia Yosia; na waimbaji wote waume kwa wake wakamtaja Yosia katika maombolezo yao, hata leo; hata wakayafanya kuwa ada kwa Israeli; nayo, tazama, yameandikwa katika maombolezo.

2 Nya. 35

2 Nya. 35:23-27