2 Nya. 30:8 Swahili Union Version (SUV)

Msiwe sasa wenye shingo ngumu kama baba zenu; lakini mjitoe kwa BWANA, mkaingie katika patakatifu pake, alipopatakasa milele, mkamtumikie BWANA, Mungu wenu, hasira yake kali iwageukie mbali.

2 Nya. 30

2 Nya. 30:1-16