2 Nya. 30:7 Swahili Union Version (SUV)

Wala msiwe kama baba zenu, na kama ndugu zenu, waliomwasi BWANA, Mungu wa baba zao, hata akawatoa kuwa ushangao, kama mwonavyo.

2 Nya. 30

2 Nya. 30:5-8