2 Nya. 29:6 Swahili Union Version (SUV)

Kwa maana baba zetu wameasi, na kufanya yaliyo maovu machoni pa BWANA, Mungu wetu, wamemwacha, na kugeuzia mbali nyuso zao na makao ya BWANA, na kumpa maungo.

2 Nya. 29

2 Nya. 29:1-13