2 Nya. 27:2 Swahili Union Version (SUV)

Akafanya yaliyo ya adili machoni pa BWANA, sawasawa na yote aliyoyafanya Uzia babaye; isipokuwa hakuingia hekaluni mwa BWANA. Lakini watu walikuwa wakali kufanya maovu.

2 Nya. 27

2 Nya. 27:1-4