2 Nya. 25:20-22 Swahili Union Version (SUV)

20. Lakini Amazia hakutaka kusikia, kwa maana hayo yalitoka kwa Mungu, ili awatie mikononi mwao, kwa kuwa wameitafuta miungu ya Edomu.

21. Basi Yehoashi mfalme wa Israeli akakwea; wakatazamana uso kwa uso, yeye na Amazia mfalme wa Yuda huko Beth-shemeshi, ulio wa Yuda.

22. Yuda wakashindwa mbele ya Israeli; wakakimbia kila mtu hemani kwake.

2 Nya. 25