2 Nya. 23:11 Swahili Union Version (SUV)

Ndipo wakamleta nje mwana wa mfalme, wakamvika taji, na kumpa ule ushuhuda, wakamtawaza awe mfalme; Yehoyada na wanawe wakamtia mafuta, wakasema, Mfalme na aishi.

2 Nya. 23

2 Nya. 23:6-14