2 Nya. 23:10 Swahili Union Version (SUV)

Akawasimamisha watu wote, kila mtu mwenye silaha yake mkononi, toka pembe ya kuume ya nyumba mpaka pembe ya kushoto, upande wa madhabahu na nyumba, kumzunguka mfalme pande zote.

2 Nya. 23

2 Nya. 23:8-15